Polisi waliopewa mafunzo na waasi wa AFC/M23 wamerejea katika mji wa Bukavu unaodhibitiwa na waasi hao huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Gavana wa Kivu Kusini chini ya AFC/M23 amesema mafunzo hayo ...
Tarehe 25 Novemba ni Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake. Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mamia ya wanawake wa dhehebu la kikatoliki waliandamana Kivu Kusini kudai ...